MTANGAZAJI

DAR ES SALAAM:NABII WA MAVAZI ATOKEA

Magreth - mama anayejitambua kama Nabii, ametokea akidai ana ujumbe aliopewa na Mungu kuwaonya wanawake (hasa wakristo) wasivae nguo zinazoonesha maungo yao bali wavae nguo kama hiyo aliyovaa yeye (pichani kulia). 

Nilikutana na Magreth alipokuja kwenye semina ya uongozi iliyokuwa inahitimishwa leo hapa Mwenge ili aonane na viongozi wa Konferensi na Union awaambie kile Mungu alichomwagiza kwao. 

Hapa anajaribu kujibu maswali kutoka kwa Ndugu Mduma.

Magreth ni Mwaadventista anayesali katika kanisa la Kipunguni Ukonga,jijini Dar es salaam na anaonekana kukiamini kwa dhati (conviction) hicho anachokiita mafunuo.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.